Cancion : Distance Artista : Lady Jaydee Album : Distance Url : https://www.letras10.co/letra-distance-de-lady-jaydee Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji-ii-iiii Moyo wangu wakuwaza mpenzi uko mbali nami Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji-ii-iiii Moyo wangu wakuwaza mpenzi uko mbali nami Ngiyakuthanda, ngiyakufuna, ngiyakudinga Nhliziyo yami, ngicabanga ngawe kodwa ukude nami mpenzi I love you, I want you, and I need you My heart is thinking of you but you're far away from me Je t'aime, je t'ave, je besoin du toi Mmh mon coeur te pans, Mh tiele du moi Nalingiyo, naleliyo, naza naposa nayo Motema nanga ezokanisa yoo ozali mosika nanga Ndagukunda, ndagushaka, ndagukeneye Umutima wanje ula kwiyumvila aliko ulikule chane Nze nkwagala, nkwagala, nkwagala nyo-oo-oo Umutima gwange gukulowoza, naye oliwala nyo nange Usiku wa manane, nikasikia waniita Kufumbua macho nagundua ni ndoto Usiku wa manane, nikasikia kuh kuh Kutizama pembeni sikuoni mpenzi Mara nyingi peke yangu nitembeapo njiani Nina kuwaza wewe na ninapata kiwewe Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji-ii-iiii Moyo wangu wakuwaza mpenzi uko mbali nami Ngiyakuthanda, ngiyakufuna, ngiyakudinga Nhliziyo yami, ngicabanga ngawe kodwa ukude nami mpenzi I love you, I want you, and I need you My heart is thinking of you but you're far away from me Je t'aime, je t'ave, je besoin du toi Mmh mon coeur te pans, Mh tiele du moi Nalingiyo, naleliyo, naza naposa nayo Motema nanga ezokanisa yoo ozali mosika nanga Ndagukunda, ndagushaka, ndagukeneye Umutima wanje ula kwiyumvila aliko ulikule chane Nze nkwagala, nkwagala, nkwagala nyo-oo-oo Umutima gwange gukulowoza, naye oliwala nyo nange Uwapo safarini mawazo mengi kichwani Ili kujiliwaza ninapata ssssss. Penzi si la mmoja mapenzi ni ya wawili Na ni ya mimi na wewe witunge mwana wa mawe Ili siku moja tuwe kitu kimoja Tuje tujenge pamoja na watoto tuleee Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji-ii-iiii Moyo wangu wakuwaza mpenzi uko mbali nami Ngiyakuthanda, ngiyakufuna, ngiyakudinga Nhliziyo yami, ngicabanga ngawe kodwa ukude nami mpenzi I love you, I want you, and I need you My heart is thinking of you but you're far away from me Je t'aime, je t'ave, je besoin du toi Mmh mon coeur te pans, Mh tiele du moi Nalingiyo, naleliyo, naza naposa nayo Motema nanga ezokanisa yoo ozali mosika nanga Ndagukunda, ndagushaka, ndagukeneye Umutima wanje ula kwiyumvila aliko ulikule chane Nze nkwagala, nkwagala, nkwagala nyo-oo-oo Umutima gwange gukulowoza, naye oliwala nyo nange Nakupenda... Mpenzi weee Mpenzi weee Ngiyakutanda... Mpenzi weee Mpenzi weee I love you... Mpenzi weee Mpenzi weee Je t'aime... Mpenzi weee Mpenzi weee Nalingiyo... Mpenzi weee Mpenzi weee Ndagukunda... Mpenzi weee Mpenzi weee Nasema nakutaka... Mpenzi weee Mpenzi weee Yakufuna... Mpenzi weee Mpenzi weee Cos I want you... Mpenzi weee Mpenzi weee Je t'ave... Mpenzi weee Mpenzi weee Naleliyo... Mpenzi weee Mpenzi weee Ndagushaka... Mpenzi weee Mpenzi weee ========================== Letra descargada de Letras10.co ==========================