Letra Acha Waseme de Otile Brown

Letra de Acha Waseme

Otile Brown


Acha Waseme
Otile Brown
(0 votos)
Kama riziki unatoa, basi ntakosa
Ila kama ni mola lazima ntapata
Kama riziki unatoa, basi ntakosaIla kama ni mola lazima ntapata

Bwana Shetani muongo, muongo we!
Mbona umejawa na kinyongo bwana we!
Wajua Shetani muongo, muongo we!
Mbona umejawa na kinyongo ndugu we!

Mbona niambie niambie niambie
Wapi nilipokuudhi naomba uniambie
Maana sio sawa kama we wanichukia
Nia njema nlio nayo kwako ndo mafanikio Yangu
Wakati mimi nakuombea mema, waniwazia mbaya

Ooh sio sawa
Ooh so sawa
Ooh dhamira yangu ndo nguzo yangu
Ooh dhamira yangu ndo nguzo yangu
Acha waseme
Acha waseme
Acha waonge
Acha waonge
Acha waseme
Acha waseme
Acha waonge
Acha waonge

Wewe unanichukia hadi zaidi unavyojipenda
Unafikiri nafikiri unavyofikiria mana nia zako sio njema
Chochote nachofanya unanielewa makosa
Lolote nachofanya unanihukumu vibaya
Wapi nilipokukosea ningependa unieleze
Wapi nilipokuudhi ningependa uniambie
Maana sio sawa kama wewe wanichukia
Nia ooh njema nlio nayo kwako ndio mafanikio yangu
Wakati mimi nakuombea mema
Waniwazia mabaya

Ooh so sawa
Ooh so sawa

Ooh dhamira yangu, ndo nguzo yangu
Ooh dhamira yangu ndo nguzo yangu
Ooh wema wangu ndo nguzo yangu
Eeeh ooh dhamira yangu ndo nguzo yangu

Acha waseme
Acha waseme
Acha waonge
Acha waonge
Acha waseme
Acha waseme
Acha waonge
Acha waonge

Kama riziki unatoa, basi ntakosa
Ila kama ni Mola lazima ntapata
Kama riziki unatoa, basi ntakosa
Ila kama ni Mola lazima ntapata
Wajua Shetani muongo, muongo we!
Amejawa na kinyongo bwana we
Wajua Shetani muongo, muongo we!
Amejawa na kinyongo ndugu we
Is your boy Brown baby watanyauka
Ihaji made it


Comparte Acha Waseme! con tus amigos.


Que tal te parece Acha Waseme de Otile Brown?
Pesima
Mala
Regular
Buena
Excelente