[Verse 1]
Kwako mwana ukamtuma
Duniani kisa na maana
Nipate uzima
Jamani
Kwako mwana ukamtuma
Duniani kisa na maana
Nipate uzima
Jamani
[Pre-Chorus]
Ishara kwamba unanipenda zaidi
Hivo nishaelewa sifa nitakupa zaidi
Ishara kwamba unanipenda zaidi
Hivo nishaelewa sifa nitakupa zaidi
[Chorus 1]
Na siwezi jizuia
Kusema wako wema
Na sio kama najigamba
Umenitenda mema
Na siwezi jizuia
Kusema wako wema
Na sio kama najigamba
Umenitenda mema
Umekuwa mwema kwangu
[Verse 2]
Umenitoa gizani nilipokuwa nimeshikwa mateka
Ukanipa tumaini kwako nikajificha
Sasa nitakupa nini iwe sawa na yale umetenda
Hakuna ila moyoni sifa nitakuimbia
Nilikugharimu msalabani unifie
Hivo inanibidi sifa nikuimbie
[?] niseme ili na wengine wakujue
Wote waungane nami na wazee ishirini na nne
[Chorus 2]
Na siwezi jizuia
Kusema wako wema
Na sio kama najigamba
Umenitenda mema
Whoa na siwezi jizuia
Kusema wako wema (whoa)
Na sio kama najigamba
Umenitenda mema
Umekuwa mwema (kwangu)