Utamu kolea aprokoto
Ting’ali ting’ali ndani kwa moto
Nitamnyongea, msokoto
Niteme sumu kali kama kobokoo
Eeeh Mapenzi yananipa shida
Shida maama, ni donda lisilokuwa na tiba
Tiba bwana, usije baby kanicharanga
Kanichambua moyo kama karanga
Mie baby kwenye msambwanda, huwa sienda
Ngenge ni nganganga
Mie mwenzako nyang’anyang’a
Mie binzari we ndo nyanya
Baby kwangwaru
Isimamie kama kangaroo
Ibane kangwaru
Babu Juma mpige kwakwaru
Kwakwaru kwakwa
[Diamond Platnumz]
Chambua kama karanga sasa
Chambua kama karanga
Ichambue kama karanga Salome
Chambua kama karanga
I say washa washa moto washa
Songa songa ugali songa songa
Mpaka chini mpaka chini
[Diamond Platnumz & Rayvanny]
Wenye wivu wajinyonge leo
Wanye wivu wajiinyonge
Wenye wivu wajinyonge Salome
Wenye wivu wajinyonge
Wenye wivu wajinyonge kweli
Wanakodoa kodo wanakodoa (macho kodo)
(wale kodo)
Ukinyonga (wanakodoa kodo wanakodoa)
Ukisonga (wanakodoa kodo wanakodoa)