Letra Nalivua Pendo Remix de Nandy

Letra de Nalivua Pendo Remix

Nandy


Nalivua Pendo Remix
Nandy
(0 votos)
Oh oh oh oh
Leo nalivua pendo nililopenda zamani
Nabadilli wangu mwendo nami niwe furahani
Nimechoshwa na skendo, vita na purukushani
Kweli asiyejua pendo apendwapo hapaoni
Nilimpa kwa kishindo penzi lote la moyoni
Raha na wingi uhondo sikumnyima mwandani
Ameyavunja kwa nyundo mwenzenu sikuamini
Leo nalivua pendo nirudi yangu thamani
Nainua mikono baba kitambaa cheupe
Ishara ya mapenzi baba ooh zimora
Wewe na mi zimora baba ua langu la moyo
Haya yote ni tisa tuu moja jaza pekee
Ada ya mja hunena, ungwana ni kitendo uuh
Hadhi yangu kubwa sana si mimi kuwa mdondoo
Wewe na mi zimora baba ua langu la moyo
Haya yote ni tisa tuu moja jaza pekee
Nimehitimu msondo msondo wa kizamani
Nikahusiwa upendo upendo siri yake nini
Nimefundwa kimitindo na starehe za chumbani
Kupendana ni matendo mtendeane hisiani
Kweli mchezea jando mapenzi kwake ni nini?
Bora niyapige tindo (turururu)
Mimi nawe buriani
Nainua mikono baba kitambaa cheupe
Ishara ya mapenzi baba ooh zimora
Wewe na mi zimora baba ua langu la moyo
Haya yote ni tisa tuu moja jaza pekee
Ada ya mja hunena, ungwana ni kitendo uuh
Hadhi yangu kubwa sana si mimi kuwa mdondoo
Wewe na mi zimora baba ua langu la moyo
Haya yote ni tisa tuu moja jaza pekee
Wewe na mi zimora baba ua langu la moyo
Haya yote ni tisa tuu moja jaza pekee
Chika chika chika chika chika Mwasiti
Chika chika chika chika chika chika
Haya yote ni tisa tuu
Zimora zimooora
Zimoraa oooh baba


Comparte Nalivua Pendo Remix! con tus amigos.


Que tal te parece Nalivua Pendo Remix de Nandy?
Pesima
Mala
Regular
Buena
Excelente